Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 22 MWEZI WA 10
Wimbo 71 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 28 fu. 8-15 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hosea 1-7 (Dak. 10)
Na. 1: Hosea 6:1–7:7 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sehemu ya Tengenezo la Yehova Iliyo Duniani Inaweza Kutambuliwa Namna Gani?—rs uku. 301 fu. 1-7 (Dak. 5)
Na. 3: Zarau Aibu Kama Yesu Alivyofanya—Ebr. 12:2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 130
Dak. 30: “Les jeunes s’interrogent... Comment se faire de vrais amis ?” Maulizo na majibu. Tumia habari zilizo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kufanya utangulizi na umalizio mufupi. Ikiwa video hii haipatikane katika luga yenu, vijana wanaweza kuitazama katika luga ingine, na hivyo kutoa majibu kwa ulizo la 9 mupaka la 14. Ao mutumie kitabu Vijana Huuliza, buku la kwanza na la pili ili kujibu maulizo.
Wimbo 89 na sala