Programu ya Juma Tokea Tarehe 19 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 19 MWEZI WA 11
Wimbo 81 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 1 fu. 15-21 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Obadia 1–Yona 4 (Dak. 10)
Na. 1: Yona 2:1-10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Jinsi Ibada ya Kweli Inavyounganisha Watu wa Malezi Mbalimbali—Zab. 133:1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Paradiso Ambayo Yesu Alizungumuzia Katika Andiko la Luka 23:43 Haiwezi Kuwa Sehemu ya Hadesi ao ya Mbinguni?—rs uku. 239 fu. 2–uku. 240 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 95
Dak. 15: Kutumikia Mahali Ambako Kuna Uhitaji wa Wahubiri Zaidi Kunaleta Baraka Nyingi Kutoka kwa Yehova. Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa wa 115, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 116, fungu la 2; ukurasa wa 151, fungu la 3; ukurasa wa 153, fungu la 1 na la 2; na ukurasa wa 170, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 171, fungu la 3. Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza.
Dak. 15: “Usijizuie Kuanzisha Funzo kwa Sababu Unawaza Hauna Uwezo.” Maulizo na majibu. Umuulize kwa kifupi mutu ambaye hakusoma mingi ao mutu mwenye haya ambaye ameongoza mafunzo ya Biblia.
Wimbo 26 na Sala