Programu ya Juma Tokea Tarehe 26 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 26 MWEZI WA 11
Wimbo 62 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya. 2 fu. 1-6, muchoro kwenye uku. 19 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mika 1-7 (Dak. 10)
Na. 1: Mika 3:1-12 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Mambo Gani Yanayoonyesha Kwamba Paradiso Ambayo Yesu Alizungumuzia Katika Andiko la Luka 23:43 Itakuwa Hapa Duniani?—rs uku. 240 fu. 4–uku. 242 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunajua Kwamba Yehova Ni Musikiaji wa Sala—1 Yohana 5:14 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 56
Dak. 5: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi. Kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 12. Tia wote moyo kuanzisha funzo siku hiyo.
Dak. 10: Michango Yao ya Ziada ilijazia Upungufu wa Wengine. Hotuba itakayotolewa na muzee inayotegemea Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 Mwezi wa 11, 2012, ukurasa wa 8-9.
Dak. 15: “Usijizuie Kuanzisha Funzo kwa Sababu Una Kazi Nyingi.” Maulizo na majibu. Uliza kwa kifupi mutu ambaye ameongoza mafunzo ya Biblia hata kama ana kazi nyingi.
Wimbo 73 na Sala