Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 12
Wimbo 97 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 fu. 20-27, kisanduku kwenye uku. 29 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zekaria 1-8 (Dak. 10)
Na. 1: Zekaria 8:1-13 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Jinsi Tunavyoonyesha Kwamba Yehova Ni Bwana Wetu Mwenye Enzi Kuu—Zab. 73:28 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Ni Jambo la Busara Kujifunza Mafundisho ya Yesu Kristo Badala ya Falsafa (Filozofia) za Wanadamu?—rs uku. 76 fu. 2–uku. 77 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 65
Dak. 5: “Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kuwatolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa . . .” Mazungumuzo.
Dak. 10: Ujumbe Ambao Ni Lazima Tuutangaze—“Hofu Mungu wa Kweli na Uzishike Amri Zake.” Hotuba itakayotolewa kwa uchangamufu inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 272, mupaka kwenye kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 275.
Dak. 15: Je, Umeyatumia? Mazungumuzo. Kupitia hotuba, zungumuzia kwa kifupi mambo yaliyo katika habari zinazofuata zilizotolewa hivi karibuni katika Huduma Yetu ya Ufalme: “Usiogope Kuhubiria Watu Nafasi za Biashara” (km 3/12), “Uwasaidie Watu ili Wamusikilize Mungu” (km 7/12), na “Je, Unaweza kuhubiri Wakati wa Mangaribi?” (km 10/12). Uwaombe ndugu na dada waeleze namna walivyofaidika walipotumia mapendekezo yaliyo katika habari hizo.
Wimbo 117 na Sala