Programu ya Juma Tokea Tarehe 31 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 12
Wimbo 60 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 3 fu. 7-12 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Malaki 1-4 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 72
Dak. 10: “Mufululizo wa Habari Mupya Katika Munara wa Mulinzi.” Hotuba. Kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa wa 8, mufanye onyesho kuhusu namna ya kutumia magazeti ili kuanzisha funzo la Biblia Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 1.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Luka 10:38-42. Muzungumuzie namna habari hiyo inavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 10: Vichapo vya Kuwatolea Watu Katika Mwezi wa 1 na wa 2. Mazungumuzo. Muzungumuzie habari zilizo katika vichapo vya kutolea watu katika miezi hiyo na mufanye maonyesho mawili.
Wimbo 134 na Sala