Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 12/12 uku. 8
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 1

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 1
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 1
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 12/12 uku. 8

Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 1

JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 1

Wimbo 104 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 3 fu. 13-19 (Dak. 30)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Mathayo 1-6 (Dak. 10)

Na. 1: Mathayo 5:21-32 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Ni Nini Kinachoweza Kumufanya Mungu Asikubali Sala za Mutu?​—rs uku. 258 fu. 4​–uku. 259 fu. 2 (Dak. 5)

Na. 3: Inamaanisha Nini Kumufanya Yehova Kuwa “Fungu Lako”​—Hes. 18:20 (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 38

Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kuwatolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 1. Mazungumuzo. Kwa muda wa segonde 30 ao 60 eleza sababu gani magazeti hayo yatawapendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari iliyo kwenye ukurasa wa kwanza wa Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye hivyohivyo kuhusu Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari ingine ya Munara wa Mulinzi ao Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu namna kila gazeti linavyoweza kutolewa.

Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.

Dak. 10: Jumba la Ufalme Lililo Safi Linamuletea Yehova Heshima. Hotuba itakayotolewa na muzee. Yehova ni Mungu mutakatifu, kwa hiyo watu wake wanapaswa kuhangaikia sana usafi wa kimwili. (Kut. 30:17-21; 40:30-32) Tunamuletea Yehova utukufu kwa kuendelea kutengeneza Jumba letu la Ufalme na kulilinda safi. (1 Pet. 2:12) Eleza mambo yaliyotendeka katika eneo lenu ao yaliyoandikwa katika vichapo vyetu yanayoonyesha namna Jumba la Ufalme lililo safi lilitoa ushahidi katika eneo. Uliza maulizo ndugu anayesimamia kazi ya kusafisha na kutunza Jumba lenu la Ufalme. Tia wote moyo washiriki katika kazi ya kusafisha na kutunza Jumba la Ufalme.

Wimbo 127 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine