Programu ya Juma Tokea Tarehe 21 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 21 MWEZI WA 1
Wimbo 61 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 4 fu. 9-14 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 12-15 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 14:23–15:11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Mutu Akisema, ‘Tuombe Kwanza, Kisha Unipe Ujumbe Wako’—rs uku. 260 fu. 4-5 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mufano wa Isaka wa Kufanya Amani?—Mwa. 26:19-22 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 32
Dak. 10: Tangaza Habari Njema Bila Kuacha. (Matendo 5:42) Uliza muhubiri mumoja ao wawili wanaojulikana kuwa wahubiri wenye bidii. Ni nini kinachowasaidia kuona mahubiri kuwa jambo la maana zaidi? Wanafanya nini ili kujitayarisha kwa ajili ya mahubiri? Namna gani kazi ya kuhubiri imewasaidia kuwa nguvu kiroho?
Dak. 10: Mwenendo Wetu Muzuri Unatoa Ushahidi. (1 Pet. 2:12) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa wa 106, fungu la 1; ukurasa wa 133, fungu la 2; na ukurasa wa 146, fungu la 3. Omba wasikilizaji waeleze mambo wanayojifunza.
Dak. 10: “Faida ya Kuwa na Eneo lako Mwenyewe.” Maulizo na majibu.
Wimbo 96 na Sala