Programu ya Juma Tokea Tarehe 28 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 28 MWEZI WA 1
Wimbo 29 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 4 fu. 15-20 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 16-21 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 17: 22–18:10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni “Maneno Mema” Gani ya Yehova Ambayo Yoshua Aliona Yanatimia?—Yos. 23:14 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Unabii Mbalimbali Gani Wenye Kutokeza wa Biblia Ambao Bado Haujatimizwa?—rs uku. 344 fu. 3–uku. 345 fu. 5 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 134
Dak. 5: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi. Kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu namna funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 2. Tia wote moyo waanzishe funzo siku hiyo.
Dak. 25: ‘Tupende Ushirika Muzima wa Akina Ndugu.’ Maulizo na majibu. Fanya utangulizi mufupi kwa kutumia habari iliyo katika fungu la kwanza, na umalizie kwa kutumia kwa kifupi habari iliyo katika fungu la mwisho. Ikiwa si rahisi kwa washiriki wengi wa kutaniko kutazama video hiyo, tafazali mutumie Index ili kutafuta majibu ya maulizo fulani.
Wimbo 53 na Sala