Programu ya Juma Tokea Tarehe 18 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 18 MWEZI WA 2
Wimbo 52 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 5 fu. 13-18 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Marko 2:18–3:6 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Musingi wa Fundisho la Toharani ni Nini?—rs uku. 302 fu. 2–uku. 303 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunapaswa Kuelewa Shauri la Paulo Lililo Katika Andiko la 1 Wakorintho 7:29-31? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 92
Dak. 15: Lihubiri Neno Katika Nyakati za Taabu. (2 Tim. 4:2) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa 72, fungu 1-2; ukurasa 110; ukurasaa 156, fungu 1, mupaka ukurasa 157, fungu 1; na ukusara 179, fungu 4. Uwaombe ndugu na dada waeleze mambo wanayojifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 15: “Kampanye ya Kuwaalika Watu Kwenye Ukumbusho.” Maulizo na majibu. Kila muhuzuriaji apewe mualiko mumoja, na muzungumuzie habari zilizo ndani. Munapozungumuzia fungu la 2, umuombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango iliyochukuliwa ili kuwatolea watu wengi iwezekanavyo mialiko katika eneo lenu. Munapozungumuzia fungu la 3, mutumie namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo ili kuonyesha namna ya kumutolea mutu mualiko.
Wimbo 8 na Sala