Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 3
Wimbo 62 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 6 fu. 7-12, kisanduku kwenye uku. 73 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 9-12 (Dak. 10)
Na. 1: Marko 11:19–12:11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Mutu Anaendelea Kuazibiwa Kisha Kufa Kwake?—rs uku. 303 fu. 5-9 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu Gani Kujitoa Mwenyewe kwa Mungu Kunaletea Mutu Furaha—Mdo. 20:35 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 7
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kuwatolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 3. Mazungumuzo. Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu maulizo yafuatayo: Siku za Posho na Siku za Yenga ambazo tutawatolea watu mwaliko, ni mambo gani yatakayotusaidia kujua ikiwa tutamutolea mutu magazeti pia? Kisha kumutolea mutu mwaliko, unaweza kusema nini ili umutolee magazeti pia? Hata ikiwa namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazopendekezwa kwenye ukurasa wa 4 zina ulizo na andiko, namna gani unaweza kufupisha mazungumuzo yako? Mufanye onyesho kuhusu namna kila gazeti linavyoweza kutolewa pamoja na mualiko.
Dak. 10: Faidika na Kijitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2013. Mazungumuzo. Zungumuzia kwa kifupi andiko la mwaka lililo kwenye ukurasa 3-4 na kichwa “Jinsi ya Kutumia Kijitabu Hiki,” kwenye ukurasa 5. Kisha, omba wasikilizaji waeleze wakati ambao wamepanga ili kuchunguza andiko la siku na faida ambayo wamepata. Malizia kwa kuwatia moyo wote wachunguze andiko la siku kila siku.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 119 na Sala