Programu ya Juma Tokea Tarehe 9 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 9 MWEZI WA 9
Wimbo 62 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 fu. 1-7 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wakorintho 10-16 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Wakorintho 14:7-25 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Wanadamu Wenye Zambi Wanaweza ‘Kutuliza Uso wa Yehova’?—2 Nya. 33:12, 13; Isa. 55:6, 7 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu Gani Masimulizi Yaliyo Katika Yohana 9:1, 2 Hayaunge Mukono Imani ya Kuzaliwa Upya Katika Mwili Mwengine?—rs uku. 151 fu. 1–uku. 152 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 89
Dak. 10: Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu?—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea trakte Maisha Yenu, kuanzia fungu la 1 mupaka fungu la 9. Uwapongeze vijana ambao wanajikaza kutia mambo ya Ufalme pa nafasi ya kwanza.
Dak. 10: Mambo Ambayo Wahubiri Walikutana Nayo Walipotumia Broshua Habari Njema. Mazungumuzo. Uwaombe wahubiri waeleze mambo yenye kufurahisha waliyokutana nayo walipotumia broshua Habari Njema ili kuanzisha mafunzo ya Biblia. Mufanye onyesho kuhusu namna tunavyoweza kutumia broshua hiyo tunapomurudilia mutu aliyekubali magazeti.—Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya Mwezi wa 3, 2013, ukurasa wa 7.
Dak. 10: “Tuige Mufano wa Manabii—Amosi.” Maulizo na majibu.
Wimbo 96 na Sala