Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 9
Wimbo 109 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 fu. 14-19 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi :
Usomaji wa Biblia: 2 Wakorintho 8-13 (Dak. 10)
Na. 1: 2 Wakorintho 10:1-18 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Mutu Akisema, ‘Mimi Naamini Kwamba Watu Wanazaliwa Upya Katika Mwili Mwengine’—rs uku. 153 fu. 1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunapaswa Kuelewa Andiko la 1 Wakorintho 10:13? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 43
Dak. 5: “Nitakamata Kitabu Chako Kama Unakamata cha Dini Yetu.” Mazungumuzo. Uwaombe wahubiri waeleze namna walivyojibu kipingamizi hicho kwa matokeo.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani Mwaka-Jana? Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia kazi ambayo kutaniko lilifanya katika mwaka wa utumishi uliopita. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa, na uwapongeze wahubiri kwa kazi waliyofanya. Zungumuzia jambo moja ao mambo mawili ambayo kutaniko linaweza kujikaza kutengeneza mwaka ujao kuhusiana na kazi ya kuhubiri, na utoe mapendekezo yenye kufaa ili kurekebisha hali hiyo.
Dak. 15: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Matendo 16:19-40. Muzungumuzie namna habari hiyo inavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Wimbo 44 na Sala