Programu ya Juma Tokea Tarehe 21 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 21 MWEZI WA 10
Wimbo 33 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 15 fu. 13-20 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wathesalonike sura ya 1–2 Wathesalonike 3 (Dak. 10)
Na. 1: 1 Wathesalonike 2:9-20 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mufano Muzuri na Mufano Mubaya wa Sulemani?—Rom. 15:4 (Dak. 5)
Na. 3: Maoni ya Biblia ni Nini Kuhusu Kuchanganya Imani Mbalimbali?—rs uku. 61 fu. 3–uku. 62 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 125
Dak. 15: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Marko 1:40-42, Marko 7:32-35, na Luka 8:43-48. Muzungumuzie namna habari hizo zinavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 15: “Tumia Adresi Yetu ya Internete ili Kuwafundisha Watoto Wako.” Maulizo na majibu. Munapozungumuzia fungu la 3, eleza mahali ambapo habari “Mwongozo kwa Wazazi” inapatikana, kisha toa mufano moja kuhusu maagizo yaliyo hapo. Munapozungumuzia fungu la 4, omba ndugu na dada waeleze namna walivyotumia adresi yetu ya Internete wakati wa ibada yao ya familia. Ikiwa katika eneo lenu watu hawatumie Internete, munaweza kuzungumuzia habari yenye kichwa “Wazazi, Pendezweni na Watoto Wenu—Kichwa kidogo, Kutia “Maji” kwa Ukawaida” (w96 1/12 uku. 12-13).
Wimbo 88 na Sala