Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 2
Wimbo 57 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 2 fu. 21-24, kisanduku kwenye uku. 24 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 25-28 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 25:19-34 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Wale Watakaofufuliwa ili Kutawala Pamoja na Yesu Watakuwa Kama Yeye—rs uku. 322 fu. 4–uku. 323 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Chukizo [Dégoutante (Chose)]—Maoni ya Yehova Kuhusu Ibada ya Sanamu na Kukosa Utii—it-1-F uku. 612 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 94
Dak. 15: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Yohana 4:6-26. Muzungumuzie namna habari hizo zinaweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 15: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuandika Mambo Fulani Kuhusu Mutu Anayependezwa.” Mazungumuzo. Munapozungumuzia kila nukta iliyo chini ya kichwa “Namna ya Kufanya,” omba ndugu na dada waeleze sababu gani mapendekezo hayo ni yenye kufaa.
Wimbo 98 na Sala