Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 2/14 uku. 1
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 2
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 2
Huduma Yetu ya Ufalme—2014
km 2/14 uku. 1

Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 2

JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 2

Wimbo 57 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cl sura ya 2 fu. 21-24, kisanduku kwenye uku. 24 (Dak. 30)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Mwanzo 25-28 (Dak. 10)

Na. 1: Mwanzo 25:19-34 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Wale Watakaofufuliwa ili Kutawala Pamoja na Yesu Watakuwa Kama Yeye​—rs uku. 322 fu. 4​–uku. 323 fu. 2 (Dak. 5)

Na. 3: Chukizo [Dégoutante (Chose)]​—Maoni ya Yehova Kuhusu Ibada ya Sanamu na Kukosa Utii—​it-1-F uku. 612 (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 94

Dak. 15: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Yohana 4:6-26. Muzungumuzie namna habari hizo zinaweza kutusaidia katika mahubiri.

Dak. 15: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Kuandika Mambo Fulani Kuhusu Mutu Anayependezwa.” Mazungumuzo. Munapozungumuzia kila nukta iliyo chini ya kichwa “Namna ya Kufanya,” omba ndugu na dada waeleze sababu gani mapendekezo hayo ni yenye kufaa.

Wimbo 98 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine