Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 2
Wimbo 15 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 fu. 1-10 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 29-31 (Dak. 10)
Na. 1: Mwanzo 29:21-35 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ufufuo Utamaanisha Nini kwa Wanadamu kwa Ujumla?—rs uku. 323 fu. 2–uku. 324 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Abiathari (Abiathar)—Tendo Moja la Ukosefu wa Uaminifu Linaweza Kufuta Kazi Yote Tuliyomutumikia Mungu kwa Miaka Mingi—it-1-F uku. 17-18 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 92
Dak. 10: Hubiri kwa Uchangamufu. Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 118, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 119, fungu la 5.
Dak. 5: Unatumia Adresi Yetu ya Internete jw.org Katika Mahubiri? Mazungumuzo. Omba ndugu na dada waeleze mambo mazuri waliyokutana nayo walipotumia adresi yetu ya Internete jw.org katika mahubiri. Utie moyo ndugu na dada wajulishe watu adresi yetu ya Internete jw.org kila mara inapowezekana.
Dak. 15: “Ongeza Furaha Yako Katika Kipindi cha Ukumbusho!” Maulizo na majibu. Uwaombe wale wanaopanga kuwa mapainia wasaidizi ijapokuwa magumu ya afya ao ijapokuwa wana mengi ya kufanya waeleze mabadiliko ambayo watafanya ili kuhubiri zaidi. Munapozungumuzia fungu la 3, umuombe mwangalizi wa utumishi azungumuzie mipango ambayo kutaniko lenu lilichukua kuhusu mikutano kwa ajili ya mahubiri katika Mwezi wa 3, wa 4, na wa 5.
Wimbo 8 na Sala