Programu ya Juma Tokea Tarehe 24 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 24 MWEZI WA 2
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 3 fu. 11-18 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 32-35 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 96
Dak. 5: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi. Hotuba. Zungumuzia mipango ambayo kutaniko lenu lilichukua kuhusu mukutano kwa ajili ya mahubiri Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 3. Mufanye onyesho fupi kwa kutumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4.
Dak. 15: Umaana wa Kuvumilia. Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2013, ukurasa wa 45, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 46, fungu la 1; na ukurasa wa 136-137. Uwaombe ndugu na dada waeleze mambo wanayojifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 10: “Kampanye ya Kuwaalika Watu Kwenye Ukumbusho.” Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi. Mupatie kila muhuzuriaji mualiko, na muzungumuzie mambo yaliyo ndani. Rudilia maagizo yaliyo katika barua iliyotumwa kwa wazee ili kuona mapendekezo ambayo munaweza kutumia, na uzungumuzie mipango ambayo kutaniko lenu lilichukua ili kutolea watu mialiko katika eneo lote.
Wimbo 109 na Sala