Programu ya Juma Tokea Tarehe 29 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 29 MWEZI WA 9
Wimbo 69 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 13 fu. 19-23, kisanduku kwenye ukurasa wa 137(Dak.30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 33-36 (Dak. 10)
No. 1: Hesabu 33:24-49 (Isipite dak. 4)
No. 2: Usipuuze Nguvu za Ibilisi—rs uku. 273 fu. 1-3 (Dak. 5)
No. 3: Usimamizi (Administration): “Usimamizi” Ambao Mungu Ameweka Tangu Mwaka wa 33—it-1-F uku. 47 fu. 3 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 108
Dak. 10: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza. Mazungumuzo. Mufanye onyesho fupi ili kuonyesha namna ya kuanzisha funzo la Biblia Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 10 kwa kutumia pendekezo la ukurasa wa 4. Uwatie moyo watu wote waanzishe mafunzo.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Matendo 4:13 na 2 Wakorintho 4:1, 7. Muzungumuzie namna maandiko hayo yanaweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 10: Muulize Muratibu wa Baraza la Wazee. Katika mugao wako, unafanya kazi gani? Mambo gani unachunguza wakati unagawia ndugu sehemu za Mukutano wa Utumishi? Sababu gani muratibu hapaswe kuonwa kuwa yeye ndiye anaongoza baraza la wazee ao kutaniko?
Wimbo 4 na Sala