Programu ya Juma la Tarehe 6 Mwezi wa 10
JUMA LA TAREHE 6 MWEZI WA 10
Wimbo 18 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 14 fu. 1-9 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 1-3 (Dak. 10)
No. 1: Kumbukumbu la Torati 2:16-30 (Isipite dak. 4)
No. 2: Karibuni Tutakombolewa Kutokana na Uvutano Muovu wa Shetani— rs uku. 274 fu. 1–uku. 275 fu. 2 (Dak. 5)
No.3: Je, Biblia Inafundisha Kwamba Kufanya Ngono Ni Zambi?—rs uku. 234 fu. 1–uku. 235 fu. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 24
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 10. Mazungumuzo. Muanze kwa kufanya onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa huu. Kisha, muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho.
Dak. 10: Mahitaji ya Kutaniko Lenu
Dak 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Uwaombe wahubiri waeleze faida ambazo walipata kwa kutumia habari “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kumutayarisha Musikilizaji ili Kumurudilia.” Omba wahubiri waeleze mambo mazuri ambayo walikutana nayo.
Wimbo 83 na Sala