Programu ya Juma la Tarehe 8 Mwezi wa 12
JUMA LA TAREHE 8 MWEZI WA 12
Wimbo 6 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 17 fu. 1-8 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Yoshua 1:1-18 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Roho Takatifu Ni Nini?—rs uku. 242 fu. 2–uku. 243 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Uzini (Adultère)— Namna Gani Mutu Anaweza Kufanya Uzini wa Kiroho?—it-1-F uku. 52 fu. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Tutoe “mambo mema [mazuri]” kutoka katika hazina nzuri ambayo tumepewa.—Mt. 12:35a.
Wimbo 94
Dak. 10: ‘Mambo Mazuri’ Yenye Tutazungumuzia Mwezi Huu. Hotuba. Zungumuzia tungo la Mwezi. (Mt. 12:35a) Tulipokea hazina za kiroho kutoka kwa mutu mwenye alitufundisha Biblia. (Soma Munara wa Mulinzi wa, tarehe 1 Mwezi wa 4, 2002, uku. 16, fu. 5-7.) Sisi pia ni lazima tuwatolee wengine ‘mambo mazuri.’ (Gal. 6:6) Uwachochee ndugu na dada wapendezwe na ‘mambo mazuri’ yenye tutazungumuzia mwezi huu kwenye Mukutano wa Utumishi. Tutajifunza namna tunaweza kukomalisha ufundi wetu wa kufundisha, na pia tutajifunza kuimba nyimbo mupya.
Dak. 20: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuonyesha Namna Funzo la Biblia Linafanywa kwa Kutumia Kitabu Biblia Inafundisha.” Mazungumuzo. Umuombe muhubiri mwenye uzoefu ao painia aonyeshe namna funzo la Biblia linafanywa kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha.
Wimbo 96 na Sala