Programu ya Juma la Tarehe 22 Mwezi wa 12
JUMA LA TAREHE 22 MWEZI WA 12
Wimbo 15 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 17 fu. 17-23, kisanduku kwenye uku. 177 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 9-11 (Dak. 10)
Na. 1: Yoshua 9:16-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Mwanadamu Ana Sehemu ya Roho Ambayo Inaendelea Kuishi Kisha Mwili Kufa?—rs uku. 244 fu. 6–uku. 245 fu. 3 (Dak. 5)
Na.3: Upendo (Affection)—Endelea Kuwa na Uhusiano Muzuri na Yehova na Wale Wanaomupenda—it-1-F uku. 52-53 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Tutoe “mambo mema [mazuri]” kutoka katika hazina nzuri ambayo tumepewa.—Mt. 12:35a.
Wimbo 119
Dak. 5: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 25: “Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi ya 2015 Yatatusaidia Kukomalisha Ufundi Wetu wa Kufundisha.” Mazungumuzo. Sehemu hii itatolewa na mwangalizi wa Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi. Ataamua ikiwa mafungu fulani yatasomwa mbele ya kuyazungumuzia. Kazia mabadiliko ambayo yamefanywa kuhusu mugawo Na. 1, wakati ambao umewekwa kwa ajili ya mambo makuu ya usomaji wa Biblia, na mashauri ya mwangalizi wa masomo. Mbele ya kuzungumuzia fungu la 7, omba ndugu fulani alisome kwanza, kisha mufanye onyesho. Katika onyesho hilo, muzee wa kutaniko anatumia habari iliyo kwenye ukurasa wa 14 wa kijitabu Habari za Kujifunza Katika Neno la Mungu pamoja na bibi na mutoto wake wakati wa ibada ya familia. Uwatie moyo wasikilizaji wote watumie mazoezi mazuri ambayo wanapata kwenye Masomo ya Huduma, na watumie vizuri kitabu Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi.
Wimbo 117 na Sala