Programu ya Juma la Tarehe 12 Mwezi wa 1
JUMA LA TAREHE 12 MWEZI WA 1
Wimbo 114 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 18 fu. 20-24, kisanduku kwenye uku. 188 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24 (Dak. 8)
Na. 1: Yoshua 24:14-21 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Mufalme Ahazi (Ahaz)—Kichwa: Kuabudu Sanamu Kunafanya Mutu Asikubaliwe na Mungu—it-1-F uku. 61-62 (Dak. 5)
Na. 3: Yehova Ni Muumbaji Mwenye Nguvu Zaidi—igw uku. 2 fu. 4–uku. 3 fu. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi ‘Tumutumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mukubwa Zaidi’. —Matendo 20:19.
Wimbo 61
Dak. 10: Tumutumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mukubwa Zaidi. Mazungumuzo. Soma Matendo 20:19. Kisha uwaombe wasikilizaji wajibu maulizo ambayo yanafuata: (1) Neno ‘kutumikia’ linamaanisha nini? (2) Tunaweza kumutumikia Bwana katika njia gani mbalimbali? (3) Neno unyenyekevu linamaanisha nini? (4) Namna gani unyenyekevu unatusaidia kutimiza kazi ya kuhubiri?
Dak. 20: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kumujibia Musikilizaji Mwenye Kukasirika.” Mazungumuzo. Kisha kuzungumuzia habari hii, mufanye onyesho fupi lenye sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza muhubiri anamujibia kwa njia isiyofaa musikilizaji mwenye kukasirika. Katika sehemu ya pili, muhubiri anatumia ufundi ili kumujibu. Watie moyo wasikilizaji watumie mapendekezo yaliyo chini ya kichwa kidogo “Tumikisha Shauri Hili Katika Mwezi.”
Wimbo 76 na Sala