Programu ya Juma la Tarehe 30 Mwezi wa 3
JUMA LA TAREHE 30 MWEZI WA 3
Wimbo 57 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 22 fu. 9-17 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 14-15 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 14:36-45 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Balaamu (Balaam)—Kichwa: Pupa Inaweza Kutufanya Tuchukue Maamuzi Mabaya—it-1-F uku. 258-259 (Dak. 5)
Na. 3: Utimizo wa Unabii wa Biblia Juu ya Siku za Mwisho—igw uku. 13 fu. 1 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Ukuwe “Tayari kwa Ajili ya Kazi Njema.”—Tito 3:1.
Wimbo 37
Dak. 15: Video za Kutusaidia Kuhubiri Zimeongezwa Kwenye Adresi Yetu ya Internete. Mazungumuzo. Muanze kwa kuonyesha video Namna Gani Tunajifunza Biblia na Watu? Kisha muzungumuzie namna ya kutumikisha video hiyo katika mahubiri. Mufanye vile pia kuhusu video Kwa Kawaida Ni Mambo Gani Tunafanya Kwenye Jumba la Ufalme? Mufanye onyesho. Kama haitawezekana kuona video hizo, mufanye mazungumuzo yenye kutegemea somo la 5 na la 25 katika broshua “Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?”
Dak. 15: “Tutumie Kijitabu ‘Habari za Kujifunza Katika Neno la Mungu’—Ili Kuanzisha Mazungumuzo.” Maulizo na majibu. Omba wasikilizaji wapendekeze njia zingine za kutumia kijitabu “Habari za Kujifunza Katika Neno la Mungu.” Mufanye onyesho.
Wimbo 114 na Sala