Programu ya Juma la Tarehe 6 MWEZI WA 7
JUMA LA TAREHE 6 MWEZI WA 7
Wimbo 80 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 27 fu. 1-9 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 7- 8 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Wafalme 8:27-34 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Kornelio (Corneille)—Kichwa: Yehova Mungu Hana Ubaguzi—it-1-F uku. 545-546 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Unaweza Kupambana na Mahangaiko?—igw uku. 24 fu.1-3 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: ‘Ukumbuke Siku za Zamani.’—Kum. 32:7.
Wimbo 69
Dak.10:Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 7.Mazungumuzo. Muanze kwa kufanyatwo onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zenye kuwa kwenye ukurasa huu. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho
Dak. 10:Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10:Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wasikilizaji waeleze namna walifaidika kwa kutumia mashauri yenye tulijifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tumia Broshua Habari Njema Inayotoka kwa Mungu! ili Kuanzisha Funzo la Biblia Kwenye Mulango.” Omba wasikilizaji waeleze mambo ya kufurahisha yenye walikutana nayo.
Wimbo 67 na Sala