Programu ya Juma la Tarehe 28 Mwezi wa 9
JUMA LA TAREHE 28 MWEZI WA 9
Wimbo 73 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 31 fu. 1-12 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 23-25 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Wafalme 23:8-15 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Malaika Wanatimiza Nini Katika Kusudi la Mungu?— It-1-F uku. 121-123 (Dak. 5)
Na. 3: Eleazari (Eléazar, Na. 1)— Kichwa: Umutumikie Yehova kwa Uaminifu—it-1-F uku. 720 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
TUNGO LA MWEZI: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema’ —Mdo.20:24.
Wimbo 93
Dak. 10: Paulo na Wafanya-Kazi Wenzake Walitoa Ushahidi Kamili Katika Muji wa Filipi. Mazungumuzo. Musome Matendo 16:11-15. Muzungumuzie namna habari hiyo inaweza kutusaidia katika mahubiri.
Dak. 20: “Kufundisha Kwa Kutumia Broshua Habari Njema.” Maulizo na majibu. Kisha kuchunguza fungu la 3, mufanye onyesho lenye kutayarishwa muzuri kuhusu namna ya kutolea mutu broshua Habari Njema na onyesho hilo litegemee fungu moja la broshua.
Wimbo 114 na Sala