Programu ya Juma la Tarehe 5 Mwezi wa 10
JUMA LA TAREHE 5 MWEZI WA 10
Wimbo 13 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 31 fu. 13-20 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 1-4 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 1:28-42 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Eli (Éli, I)—Kichwa: Kuachilia Mambo Mabaya Kunamuvunjia Mungu Heshima—it-1-F uku. 721-722 (Dak. 5)
Na. 3: ‘Mupinga-Kristo’ Ni Nani?—w06 1/12 uku. 4-7 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
TUNGO LA MWEZI: ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema’ —Mdo. 20:24.
Wimbo 82
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 10. Mazungumuzo. Muanze kwa kufanya maonyesho mawili kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zenye kuwa kwenye ukurasa huu. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze faida yenye walipata kwa kutumia mashauri yenye tulijifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kutoa Ushahidi Katika Eneo la Biashara.” Omba wasikilizaji waeleze mambo ya kufurahisha yenye walikutana nayo.
Wimbo 98 na Sala