Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 12
JUMA LA TAREHE 14 MWEZI WA 12
Wimbo 50 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 4 fu. 16-31, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 41 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 15-19 (Dak. 8)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 16:1-9 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Eneo la Kaldayo Lilikuwa Wapi, na Wakaldayo Walikuwa Watu Gani (Chaldée, Chaldéen)?—it-1-F uku. 420 (Dak. 5)
Na. 3: Esau (Ésaü)—Kichwa: Maamuzi Yetu Yanaonyesha Ikiwa Tunapendezwa na Vitu Vitakatifu ao Hapana—it-1-F uku. 791-793 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: ‘Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia ziki nyingi.’—Mdo. 14:22.
Wimbo 128
Dak. 30: “Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona.” Maulizo na majibu. Tumia fungu la kwanza ili kusema maneno mafupi ya utangulizi na fungu la mwisho ili kusema maneno mafupi ya kumalizia.
Wimbo 133 na Sala