Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 12/15 uku. 2
  • Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 12

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 12
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Vichwa Vidogo
  • Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 12
  • JUMA LA TAREHE 14 MWEZI WA 12
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 12/15 uku. 2

Programu ya Juma la Tarehe 14 Mwezi wa 12

JUMA LA TAREHE 14 MWEZI WA 12

Wimbo 50 na Sala

Funzo la Biblia la Kutaniko:

ia sura ya 4 fu. 16-31, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 41 (Dak. 30)

Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 15-19 (Dak. 8)

Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 16:1-9 (Isipite dak. 3)

Na. 2: Eneo la Kaldayo Lilikuwa Wapi, na Wakaldayo Walikuwa Watu Gani (Chaldée, Chaldéen)?—it-1-F uku. 420 (Dak. 5)

Na. 3: Esau (Ésaü)—Kichwa: Maamuzi Yetu Yanaonyesha Ikiwa Tunapendezwa na Vitu Vitakatifu ao Hapana—it-1-F uku. 791-​793 (Dak. 5)

Mukutano wa Utumishi:

Tungo la Mwezi: ‘Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia ziki nyingi.’—Mdo. 14:22.

Wimbo 128

Dak. 30: “Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona.” Maulizo na majibu. Tumia fungu la kwanza ili kusema maneno mafupi ya utangulizi na fungu la mwisho ili kusema maneno mafupi ya kumalizia.

Wimbo 133 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine