UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 21-23
Ufalme Ni wa Yule Aliye na Haki ya Kisheria
Maandishi
Maandishi
Yesu alikuwa na “haki ya kisheria” ya kutawala namna ilitabiriwa katika unabii wa Ezekieli.
Masiya angetokea katika kabila gani?
Yehova alimuambia nani kama ufalme wake utakuwa na usalama milele?
Mathayo alionyesha kama Yesu alikuwa na haki ya kutawala kupitia kizazi cha nani?