Tarehe 1-7/01
MATHAYO 1-3
Wimbo 14a na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ufalme wa Mbinguni Umekaribia”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Mathayo.]
Mt 3:1, 2—Yohana Mubatizaji alitangaza kama Mutawala wa Ufalme wa mbinguni alikuwa karibu kutokea (“Akihubiri,” “Ufalme,” “Ufalme wa mbinguni” “umekaribia” kwa ajili ya funzo Mt 3:1, 2, nwtsty-E)
Mt 3:4—Yohana Mubatizaji aliishi maisha mepesi ili ajitoe kabisa kufanya mapenzi ya Mungu (“Nguo za Yohana Mubatizaji na Namna Alionekana,” “Nzige,” “Asali ya Pori” picha na video Mt 3:4, nwtsty-E)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mt 1:3—Sababu gani Mathayo anataja wanamuke tano katika kizazi chenye kuongoza kwa Yesu? (“Tamari” kwa ajili ya funzo Mt 1:3, nwtsty-E)
Mt 3:11—Tunajua namna gani kama ubatizo ni kumuingiza kabisa mutu ndani ya maji? (“ninawabatiza ninyi” kwa ajili ya funzo Mt 3:11, nwtsty-E)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 1:1-17
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 39-40 fu. 6-7
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 72
Ripoti ya Mwaka wa Utumishi: (Dak. 15) Hotuba. Itolewe na muzee. Musome kwanza barua ya biro ya tawi kuhusu ripoti ya mwaka wa utumishi; kisha uulize maulizo wahubiri wenye ulichagua mbele ya wakati, waeleze mambo fulani yenye kupendeza yenye walijionea katika mwaka wa utumishi wenye umepita.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 2
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 137 na Sala
a Kuanzia juma la tarehe 01/01/2018, namba za nyimbo katika Buku la Mukutano na Munara wa Mulinzi ni za kitabu kipya Mwimbieni Yehova kwa Shangwe. Lakini, kwenye funzo la Munara wa Mulinzi la juma la tarehe 25/12/2017, tutatumia kitabu cha wimbo cha zamani ili kuimba nyimbo namba 9, na 138.