Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 1 uku. 1
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
  • ○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
  • ○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
  • Vile Tunapaswa Kutumia Sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Vile Tunapaswa Kutumia Sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 1 uku. 1
Karibu na muji wa Monrovia, Liberia; wahubiri wanatoa trakte

Karibu na muji wa Monrovia, Liberia; wahubiri wanatoa trakte

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Biblia ingali yenye faida leo?

Andiko: 2Tim 3:16

Ulizo la Kuacha: Biblia inazungumuzia habari gani?

○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Biblia inazungumuzia habari gani?

Andiko: Mt 6:10

Ulizo la Kuacha: Ufalme wa Mungu utafanya nini?

○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI

Ulizo: Ufalme wa Mungu utafanya nini?

Andiko: Dan 2:44

Ulizo la Kuacha: Matokeo itakuwa nini juu ya dunia?

Kuanzia mwezi huu, mukutano wa katikati ya juma hautakuwa tena na namna tatu za kuanzisha mazungumuzo. Lakini, Buku la Mukutano Utumishi na Maisha litakuwa na namna ya kuanzisha mazungumuzo yenye itakuwa na ulizo la kwanza, andiko, na ulizo la kumuachia mutu ili kumurudilia. Kila juma kutakuwa video moja tu ya namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kila muhubiri ataamua ni kichapo gani kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia atatumia, na ni wakati gani atakitolea mutu: wakati anamutembelea mara ya kwanza ao wakati anamurudilia. Tena, buku la mukutano litapendekeza namna mbili za kumurudilia mutu. Hilo litatusaidia tukazie akili kufundisha “wale wote [wenye kuwa] na mwelekeo unaofaa kwa ajili ya uzima wa milele.”​—Mdo 13:48.

Migao ya Wanafunzi: Kama hawaombwe kufanya namna ingine, wanafunzi watatumia ukurasa wa kwanza ili kuanzisha mazungumuzo.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine