Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 6 uku. 6
  • Tarehe 25/06–1/07

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 25/06–1/07
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 6 uku. 6

Tarehe 25/06–1/07

LUKA 4-5

  • Wimbo 37 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu”: (Dak. 10)

    • Lu 4:1-4​—Yesu hakujiachilia ashawishiwe na tamaa ya mwili (w13 15/8 uku. 25 fu. 8)

    • Lu 4:5-8​—Yesu hakuchochewa na tamaa ya macho (w13 15/8 uku. 25 fu. 10)

    • Lu 4:9-12​—Wakati alijaribiwa, hakutumia nafasi hiyo ili kujionyesha [Muangalie video Munara wa Hekalu.] (“Munara wa Hekalu” nwtsty picha na video, nwtsty-E; w13 15/8 uku. 26 fu. 12)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Lu 4:17​—Ni nini inaonyesha kama Yesu alikuwa anajua Neno la Mungu muzuri sana? (“kitabu cha kukunjwa cha nabii Isaya” nwtsty kwa ajili ya funzo, nwtsty-E)

    • Lu 4:25​—Wakati wa Eliya, kipwa kilichukuwa siku ngapi? (“kwa miaka tatu na miezi sita” nwtsty kwa ajili ya funzo, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Lu 4:31-44

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha umuachie mutu karte ya JW.ORG.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko lenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) jl somo la 28

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 28

  • “Epuka Hatari ya Kutumia Site za Enternete za Kupashana Habari”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Tumia kwa Hekima Site za Enternete za Kupashana Habari (fungua video, kisha fungua VIJANA).

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 26

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 105 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine