Tarehe 25/06–1/07
LUKA 4-5
Wimbo 37 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Umuige Yesu kwa Kupambana na Majaribu”: (Dak. 10)
Lu 4:1-4—Yesu hakujiachilia ashawishiwe na tamaa ya mwili (w13 15/8 uku. 25 fu. 8)
Lu 4:5-8—Yesu hakuchochewa na tamaa ya macho (w13 15/8 uku. 25 fu. 10)
Lu 4:9-12—Wakati alijaribiwa, hakutumia nafasi hiyo ili kujionyesha [Muangalie video Munara wa Hekalu.] (“Munara wa Hekalu” nwtsty picha na video, nwtsty-E; w13 15/8 uku. 26 fu. 12)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Lu 4:17—Ni nini inaonyesha kama Yesu alikuwa anajua Neno la Mungu muzuri sana? (“kitabu cha kukunjwa cha nabii Isaya” nwtsty kwa ajili ya funzo, nwtsty-E)
Lu 4:25—Wakati wa Eliya, kipwa kilichukuwa siku ngapi? (“kwa miaka tatu na miezi sita” nwtsty kwa ajili ya funzo, nwtsty-E)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Lu 4:31-44
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha umuachie mutu karte ya JW.ORG.
Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko lenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) jl somo la 28
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 28
“Epuka Hatari ya Kutumia Site za Enternete za Kupashana Habari”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Tumia kwa Hekima Site za Enternete za Kupashana Habari (fungua video, kisha fungua VIJANA).
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 26
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 105 na Sala