Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 2 uku. 5
  • Tarehe 18-24/02

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 18-24/02
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 2 uku. 5

Tarehe 18-24/02

WAROMA 7-8

  • Wimbo 27 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Uko ‘Unangojea na Kutazamia kwa Hamu’?”: (Dak. 10)

    • Ro 8:19​—Wakati wa kufunuliwa kwa “wana wa Mungu” iko karibu (w12 15/7 uku. 11 fu. 17)

    • Ro 8:20​—“Uumbaji ulitiishwa chini ya maisha yenye hayana maana . . . kwa musingi wa tumaini” (w12 15/3 uku. 23 fu. 11)

    • Ro 8:21​—Uumbaji “utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu” (w12 15/3 uku. 23 fu. 12)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 8:6​—Kuko tofauti gani kati ya “kukaza akili juu ya mwili” na “kukaza akili juu ya roho”? (w17.06 uku. 3)

    • Ro 8:26, 27​—Namna gani Yehova anajibia “vilio vya maumivu vyenye havitamukwe”? (w09 15/11 uku. 7 fu. 20)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 7:13-25 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 6)

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Kisha ufanye utangulizi wa video Tunajifunzaka Biblia na Watu Namna Gani? na uizungumuzie (lakini usiionyeshe) (th somo ya 9)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 139

  • “Tuendelee Kuongojea kwa Hamu na Uvumilivu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Tunapaswa ‘Kukimbia kwa Uvumilivu’​—Ukuwe na Imani Kama Utapata Zawadi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 55

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 124 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine