UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 7-8
Uko “Unangojea na Kutazamia kwa Hamu”?
“Uumbaji” ni wanadamu wenye wako na tumaini ya kuishi ku dunia
“Kufunuliwa kwa wana wa Mungu” ni wakati watiwa-mafuta watatumika na Kristo ili kuharibu mupangilio muovu wa mambo wa Shetani
“Musingi wa tumaini” ni ahadi ya Yehova ya kuokoa wanadamu kupitia kifo na ufufuo wa Yesu
“[Uumbaji] utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu” maana yake utakombolewa hatua kwa hatua kutokana na matokeo ya zambi na kifo