UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MARKO 7-8
Chukua Muti Wako wa Mateso na Uendelee Kunifuata
Yesu alisema: ‘Muendelee kunifuata.’ Kwa hiyo, tunapaswa kuwa na uvumilivu. Namna gani tunaweza kujikaza kufanya hivyo katika mambo haya . . .
sala?
funzo?
mahubiri?
kuhuzuria mikutano?
kutoa maelezo kwenye mikutano?