Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 6
  • Uko na Mawazo ya Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Uko na Mawazo ya Nani?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Chukua Muti Wako wa Mateso na Uendelee Kunifuata
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Alibaki Mushikamanifu Ijapokuwa Majaribu
    Tuige Imani Yao
  • Tufuate Yesu Kwa Kuendelea
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
  • Ni Nani Anafinyanga Mawazo Yako?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 16-17

Uko na Mawazo ya Nani?

16:21-23

Yesu anamuambia Petro apite nyuma yake
  • Tuko hakika kama Petro alikuwa na nia ya muzuri; lakini Yesu alirekebisha haraka mawazo ya mubaya ya Petro

  • Yesu alijua kama huo haukuwa wakati wa kujitendea ‘kwa fazili.’ Wakati huo wa lazima sana, Shetani alitafuta kumuchochea Yesu aache kuwa muangalifu

16:24

Yesu alitaja mambo tatu yenye tunapaswa kufanya ili tuongozwe na mawazo ya Mungu. Ni mambo gani?

  • Kujikana ao kujikataa mwenyewe

  • Kuchukua muti wako wa mateso

  • Kuendelea kumufuata Yesu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine