UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 16-17
Uko na Mawazo ya Nani?
Tuko hakika kama Petro alikuwa na nia ya muzuri; lakini Yesu alirekebisha haraka mawazo ya mubaya ya Petro
Yesu alijua kama huo haukuwa wakati wa kujitendea ‘kwa fazili.’ Wakati huo wa lazima sana, Shetani alitafuta kumuchochea Yesu aache kuwa muangalifu
Yesu alitaja mambo tatu yenye tunapaswa kufanya ili tuongozwe na mawazo ya Mungu. Ni mambo gani?
Kujikana ao kujikataa mwenyewe
Kuchukua muti wako wa mateso
Kuendelea kumufuata Yesu