Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 9 uku. 6
  • Yesu Alitukuza Baba Yake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu Alitukuza Baba Yake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Chukua Muti Wako wa Mateso na Uendelee Kunifuata
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Ukuwe Munyenyekevu Wakati Wengine Wanakusifu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Yesu Ni Mutu wa Namna Gani?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Mungu Anamujaribu Abrahamu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 9 uku. 6
Yesu anatukuza Baba yake

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOHANA 7-8

Yesu Alitukuza Baba Yake

7:15-18, 28, 29; 8:29

Yesu alitukuza Baba yake wa mbinguni mu mambo yote alisema na kufanya. Alipenda watu wajue kama ujumbe wake ulitoka kwa Mungu. Ndiyo sababu mafundisho yake yote ilitegemea Maandiko, na alitaja sana Maandiko. Wakati watu walimusifu, alikatala wamusifu; alipenda utukufu umuendee Yehova. Jambo alihangaikia zaidi ni kumaliza kazi yenye Yehova alikuwa amemupatia.​—Yoh 17:4.

Namna gani tunaweza kumuiga Yesu wakati . . .

  • tunajifunza na watu Biblia ao tunafundisha ku jukwaa?

  • watu wanatusifu?

  • tunaamua namna tutatumia wakati wetu?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine