Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 1 uku. 6
  • “Dunia Yote Iliendelea Kuwa na Luga Moja”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Dunia Yote Iliendelea Kuwa na Luga Moja”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Luga Zetu za Leo Zilianzia Kwenye “Munara wa Babeli”?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Tuhubirie Watu Wanaozungumza Luga ya Kigeni
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Fundisheni Wengine Lugha Safi
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 1 uku. 6
Wajenzi wa munara wa Babeli wanashindwa kuelewana kisha Yehova kuvuruga luga.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 9-11

“Dunia Yote Iliendelea Kuwa na Luga Moja”

11:1-4, 6-9

Kwenye Babeli, Yehova alivuruga luga ili kusambaza wanadamu wenye hawakumutii. Leo iko anakusanya kundi kubwa la watu wenye kutoka katika mataifa yote na luga zote na anawapatia “luga safi” ili “waitie jina la Yehova, wamutumikie bega kwa bega.” (Sef 3:9; Ufu 7:9) Ile “luga safi” ni kweli juu ya Yehova na juu ya makusudi yake, kama vile inaonyeshwa katika Maandiko.

Kujifunza luga mupya haiko tu kuweka maneno ya mupya mu akili, lakini inaomba kujifunza namna ya mupya ya kuwaza. Vilevile, wakati tuko tunajifunza luga safi ya ile kweli, akili yetu inageuzwa. (Ro 12:2) Kuendelea kufanya vile kunasaidia watu wa Mungu wakuwe na umoja.​—1Ko 1:10.

Ndugu na dada wanafurahia kuzungumuza mbele ya kuanza mikutano ya kutaniko.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine