Musa ananyoosha mukono wake ili kugawanya Bahari Nyekundu
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni nini inaweza kutusaidia kupunguza huzuni yetu?
Andiko: 2Ko 1:3, 4
Ulizo la Kuachia Mutu: Inakuwa namna gani wakati mutu anakufa?
○● KUMURUDILIA MUTU
Ulizo: Inakuwa namna gani wakati mutu anakufa?
Ulizo la Kuachia Mutu: Tuko na tumaini gani kwa ajili ya watu wenye wamekufa?