- Habari za Kufanana na Zile
YEREMIA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Yeremia anawekwa kuwa nabii (1-10)
Maono ya muti wa lozi (11, 12)
Maono ya chungu cha kupikia (13-16)
Yeremia anatiwa nguvu kwa ajili ya utume wake (17-19)
2
3
4
Kutubu kunaleta baraka (1-4)
Musiba utakuja kutoka kaskazini (5-18)
Uchungu wa Yeremia juu ya musiba wenye unakuja (19-31)
5
Watu wanakataa nizamu ya Yehova (1-13)
Kuharibiwa lakini hapana kuangamizwa kabisa (14-19)
Yehova anaomba watu watoe hesabu (20-31)
6
Kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita kunakaribia (1-9)
Kasirani kali ya Yehova juu ya Yerusalemu (10-21)
Watavamiwa bila huruma kutoka kaskazini (22-26)
Yeremia atatumika akiwa mupimaji wa metali (27-30)
7
Tumaini la uongo katika hekalu la Yehova (1-11)
Hekalu litakuwa kama Shilo (12-15)
Ibada ya kidesturi inahukumiwa (16-34)
8
Watu wanachagua njia yenye kupendwa na wengi (1-7)
Kuko hekima gani bila neno la Yehova? (8-17)
Yeremia anaomboleza juu ya kuvunjika kwa Yuda (18-22)
9
Huzuni kubwa ya Yeremia (1-3a)
Yehova anaomba Yuda watoe hesabu (3b-16)
Kuombolezea Yuda (17-22)
Kujisifu kwa sababu ya kumujua Yehova (23-26)
10
Tofauti kati ya miungu ya mataifa na Mungu mwenye kuishi (1-16)
Uharibifu na uhamisho wenye unakuja (17, 18)
Huzuni ya Yeremia (19-22)
Sala ya nabii (23-25)
11
Yuda wanavunja agano pamoja na Mungu (1-17)
Yeremia anafananishwa na mwana-kondoo mwenye kupelekwa kwenye machinjo (18-20)
Watu wa muji wa Yeremia wanamupinga (21-23)
12
13
Mushipi wa kitani wenye uliharibika (1-11)
Mitungi ya divai itavunjwa-vunjwa (12-14)
Yuda mwenye hawezi kubadilika atapelekwa katika uhamisho (15-27)
14
Ukame, njaa, na upanga (1-12)
Manabii wa uongo wanalaumiwa (13-18)
Yeremia anakubali zambi za watu (19-22)
15
Yehova hatabadilisha hukumu yake (1-9)
Malalamiko ya Yeremia (10)
Jibu la Yehova (11-14)
Sala ya Yeremia (15-18)
Yehova anamutia Yeremia nguvu (19-21)
16
Yeremia hapaswe kuoa, kuomboleza, wala kufanya karamu (1-9)
Azabu, kisha kurudishwa (10-21)
17
Zambi ya Yuda imetia mizizi (1-4)
Baraka za kutegemea Yehova (5-8)
Moyo wenye udanganyifu (9-11)
Yehova, tumaini la Israeli (12, 13)
Sala ya Yeremia (14-18)
Kuona Sabato kuwa takatifu (19-27)
18
Udongo katika mukono wa mufinyanzi (1-12)
Yehova anageuzia Israeli mugongo wake (13-17)
Mupango mubaya juu ya Yeremia; ombi lake (18-23)
19
20
Pashuri anamupiga Yeremia (1-6)
Yeremia hawezi kuacha kuhubiri (7-13)
Malalamiko ya Yeremia (14-18)
21
22
23
Wachungaji wazuri na wabaya (1-4)
Usalama chini ya “chipukizi la haki” (5-8)
Manabii wa uongo wanalaumiwa (9-32)
“Muzigo” wa Yehova (33-40)
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
Ahadi ya kurudishwa (1-13)
Usalama chini ya “chipukizi la haki” (14-16)
Agano pamoja na Daudi na makuhani (17-26)
34
35
36
Yeremia anasema maneno kisha yanaandikwa katika kitabu cha kukunjwa (1-7)
Baruku anasoma kwa sauti katika kitabu cha kukunjwa (8-19)
Yehoyakimu anateketeza kitabu cha kukunjwa (20-26)
Ujumbe unaandikwa tena kwenye kitabu kipya cha kukunjwa (27-32)
37
Wakaldayo wataondoka kwa wakati kidogo tu (1-10)
Yeremia anafungwa katika gereza (11-16)
Sedekia anakutana na Yeremia (17-21)
38
Yeremia anatupwa ndani ya tangi la maji (1-6)
Ebed-meleki anamuokoa Yeremia (7-13)
Yeremia anamuomba Sedekia ajitie katika mikono ya maadui (14-28)
39
Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)
Yeremia atalindwa (11-14)
Uzima wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)
40
Nebuzaradani anamuachilia huru Yeremia (1-6)
Gedalia anawekwa juu ya inchi (7-12)
Mupango mubaya juu ya Gedalia (13-16)
41
42
43
44
45
46
47
48
49
Unabii juu ya Amoni (1-6)
Unabii juu ya Edomu (7-22)
Unabii juu ya Damasko (23-27)
Unabii juu ya Kedari na Hasori (28-33)
Unabii juu ya Elamu (34-39)
50
51
52
Sedekia anaasi Babiloni (1-3)
Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (4-11)
Kuharibiwa kwa muji na hekalu (12-23)
Watu wanapelekwa katika uhamisho Babiloni (24-30)
Yehoyakini anaachiliwa huru kutoka katika gereza (31-34)