Utangulizi
Sababu gani ni jambo la maana kujitayarisha kwa ajili ya misiba?
Biblia inasema hivi: ‘Mutu mwerevu ambaye ameuona musiba amejificha; wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.’—Methali 27:12.
Gazeti hili linaonyesha mambo tunaweza kufanya mbele ya musiba, wakati wa musiba, na kisha musiba.