Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 3
  • Uko Tayari?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Uko Tayari?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ukuwe Tayari mu hii Sehemu ya Mwisho ya “Siku za Mwisho”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Je, Unajitayarisha kwa Ajili ya Misiba?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2007
  • Uko Tayari Kupambana na Muvurugo Wenye Unaweza Kutokea mu Eneo Yenu?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Saidia Wengine Wavumilie Magumu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 3
Familia moja inatayarisha vitu vya musaada wa kwanza.

MAISHA YA MUKRISTO

Uko Tayari?

Kama kunatokea musiba wa asili mu eneo lenu, uko tayari? Pengine matetemeko ya inchi, upepo mukubwa, moto wa misitu, na maji ya mingi yenye kubeba nyumba na vitu inaweza kutokea bila kutazamia na kuharibu kabisa. Zaidi ya ile, muvurugo, magonjwa yenye kuenea haraka, na mashambulizi ya wateroriste vinaweza kutokea nafasi yoyote na bila kutazamia. (Muh 9:11) Tusiwaze kama ile misiba haiwezi kutokea hata kidogo fasi kwenye tunaishi.

Kila mutu anapaswa kukamata hatua fulani ili kuwa tayari kama musiba unatokea. (Mez 22:3) Hata kama tengenezo la Yehova linafanyaka mambo fulani ili kusaidia wakati misiba inatokea, kila mutu anapaswa kujitayarisha.​—Gal 6:5, maelezo ya chini.

MUANGALIE VIDEO UKO TAYARI KWA AJILI YA MUSIBA WA ASILI? NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Ndugu mumoja anajitayarisha kiroho kwa ajili ya musiba kwa kusoma Biblia.

    Namna gani tunaweza kujitayarisha kiroho mbele musiba utokee?

  • Sakoshi yenye kuwa na vitu vya musaada wa kwanza, karatasi yenye kuwa na namba za telefone.

    Juu ya nini ni jambo la lazima . . .

    • • kuendelea kupashana habari na wazee mbele musiba utokee, wakati wa musiba, na kisha musiba?

    • • kutayarisha vitu vya musaada wa kwanza?​—g17.5 6

    • • kuzungumuzia aina fulani ya misiba yenye inaweza kutokea na namna ya kufanya?

  • Picha: Namna ya kusaidia wengine wakati wa musiba. 1. Ndugu iko anasali. 2. Wajitoleaji wanasaidia kisha musiba kutokea. 3. Ndugu iko anatia muchango katika kisanduku cha muchango kwenye jumba la Ufalme.

    Ni mu njia gani tatu tunaweza kusaidia wale wenye wanafikiwa na musiba wa asili?

UNAWEZA KUWA MUJITOLEAJI?

Kazi ya kusaidia wenye wanafikiwa na misiba inaongezeka na kuko kabisa lazima ya watu wa kujitolea. Kama unapenda kujitolea, uambie wazee bila kuchelewa.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine