Utangulizi
Tunaishi katika dunia yenye kujaa magonjwa hatari. Namna gani tunaweza kujilinda?
Kitabu kimoja cha zamani chenye hekima kinasema hivi: ‘Mutu mwerevu ni yule ambaye ameona musiba na kujificha.’—Methali 22:3.
“Amuka!” hii inazungumuzia mambo yenye tunaweza kufanya ili kupunguza hatari ya kupata magonjwa.