Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Ni zawadi gani yenye kuwa kubwa zaidi yenye Mungu amekwisha kutupatia?
Biblia inasema hivi: ‘Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamutoa Mwana wake muzaliwa-pekee.’—Yohana 3:16.
Munara wa Mulinzi huu unazungumuzia sababu gani Mungu alituma Yesu duniani ili akufe kwa ajili yetu na namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa zawadi hiyo.