Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lfb uku. 58-59
  • Utangulizi wa Sehemu ya 5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 5
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Utangulizi wa Sehemu ya 11
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Utangulizi wa Sehemu ya 4
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Waisraeli Wanamutolea Yehova Ahadi
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Wanajenga Tabenakulo
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Ona Habari Zaidi
Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
lfb uku. 58-59
Waisraeli wanaokota mana

Utangulizi wa Sehemu ya 5

Miezi mbili kisha kuvuka Bahari Nyekundu, Waisraeli walifika ku Mulima Sinai. Ku ile mulima, Yehova alifanya agano na Waisraeli juu wakuwe taifa lake la pekee. Aliwachunga na kuwapatia kila kitu chenye walikuwa nacho lazima. Aliwapatia mana ili wakule, fasi ya kuishi yenye usalama, na nguo zao hazikuharibika. Kama uko muzazi, usaidie mutoto wako aelewe juu ya nini Yehova alipatia Waisraeli Sheria, tabenakulo, na makuhani. Umuonyeshe sababu gani tunapaswa kutimiza mambo yenye tulisema tutafanya, kuendelea kuwa wanyenyekevu, na kuwa washikamanifu kwa Yehova sikuzote.

MAMBO YA KUJIFUNZA

  • Wakati unaambia Yehova kama utamufanyia jambo fulani, ujikaze kulitimiza

  • Kiburi, kujitafutia faida, na uasi viko na matokeo ya mubaya sana

  • Yehova alivumilia Waisraeli na aliwahangaikia hata wakati waliacha kuwa waaminifu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine