Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 9
  • Yehova Ni Mufalme Wetu!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ni Mufalme Wetu!
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ufalme Unatawala—Tunasali Ukuye!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • “Shangwe ya Yehova”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mumupatie Yehova Utukufu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 9

WIMBO 9

Yehova Ni Mufalme Wetu!

Maandishi

(Zaburi 97:1)

  1. 1. Tumupatie Mungu sifa;

    Mbingu zinatangaza haki yake.

    Tutangazie watu ukubwa wake.

    Tumuimbie kwa furaha.

    (REFREE)

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

  2. 2. Twende basi tutangazie

    Watu wote utukufu wa Mungu.

    Anaokoa na ni Mufalme wetu.

    Ni yeye tunainamia.

    (REFREE)

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

  3. 3. Mungu alichagua Yesu,

    Atawale kwa haki na upendo.

    Miungu yote na ipatishwe haya,

    Yehova tu njo tuabudu.

    (REFREE)

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

    Mbingu zifurahi na dunia pia.

    Sasa Yehova ni Mufalme.

(Ona pia 1 Ny. 16:9; Zb. 68:20; 97:6, 7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine