WIMBO 22
Ufalme Unatawala—Tunasali Ukuye!
Maandishi
1. Yehova Mungu Mukubwa,
Uko wa milele.
Ulimuchagua Yesu
Akuwe Mufalme.
Ufalme uko mbinguni,
Utatawala dunia.
(REFREE)
Sasa kunakuwa
Wokovu, nguvu, Ufalme.
Uko natawala.
Na tunasali: ‘Ukuye!’
2. Shetani anabakia
Na siku kidogo.
Hata tuteseke sana,
Kuko tumaini.
Ufalme uko mbinguni,
Utatawala dunia.
(REFREE)
Sasa kunakuwa
Wokovu, nguvu, Ufalme.
Uko natawala.
Na tunasali: ‘Ukuye!’
3. Malaika wanaimba
Nyimbo za furaha.
Shetani amefukuzwa
Kutoka mbinguni.
Ufalme uko mbinguni,
Utatawala dunia.
(REFREE)
Sasa kunakuwa
Wokovu, nguvu, Ufalme.
Uko natawala.
Na tunasali: ‘Ukuye!’
(Ona pia Da. 2:34, 35; 2 Ko. 4:18.)