Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 22
  • Ufalme Unatawala—Tunasali Ukuye!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ufalme Unatawala—Tunasali Ukuye!
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Ni Mufalme Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuimbe Wimbo wa Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Muendelee Kutafuta Kwanza Ufalme
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Kuko Guvernema Yenye Inaweza Kutawala Dunia Muzuri?​—Biblia Inasema Nini?
    Habari Zingine
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 22

WIMBO 22

Ufalme Unatawala​—Tunasali Ukuye!

Maandishi

(Ufunuo 11:15; 12:10)

  1. 1. Yehova Mungu Mukubwa,

    Uko wa milele.

    Ulimuchagua Yesu

    Akuwe Mufalme.

    Ufalme uko mbinguni,

    Utatawala dunia.

    (REFREE)

    Sasa kunakuwa

    Wokovu, nguvu, Ufalme.

    Uko natawala.

    Na tunasali: ‘Ukuye!’

  2. 2. Shetani anabakia

    Na siku kidogo.

    Hata tuteseke sana,

    Kuko tumaini.

    Ufalme uko mbinguni,

    Utatawala dunia.

    (REFREE)

    Sasa kunakuwa

    Wokovu, nguvu, Ufalme.

    Uko natawala.

    Na tunasali: ‘Ukuye!’

  3. 3. Malaika wanaimba

    Nyimbo za furaha.

    Shetani amefukuzwa

    Kutoka mbinguni.

    Ufalme uko mbinguni,

    Utatawala dunia.

    (REFREE)

    Sasa kunakuwa

    Wokovu, nguvu, Ufalme.

    Uko natawala.

    Na tunasali: ‘Ukuye!’

(Ona pia Da. 2:34, 35; 2 Ko. 4:18.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine