WIMBO 48
Tutembee na Yehova Kila Siku
Maandishi
(Mika 6:8)
1. Tutembee na Yehova;
Na tujishushe mbele yake.
Kama tunamutafuta
Atatuonyesha fazili!
Sababu anatupenda,
Tutatembea naye.
Na tunajitoa kwake;
Tumutumikie yeye.
2. Mu siku hizi za mwisho,
Shetani anakasirika.
Iko natutesa sana
Ili tumuache Yehova.
Lakini tujue kama
Mungu atatulinda.
Basi tumutumikie
na kumupenda milele.
3. Yah anatusaidia
Kwa kutumia roho yake,
Pia Biblia na sala,
Na kutaniko ya Kikristo.
Tukifurahisha Mungu,
Atatusaidia
Tukuwe waaminifu
Na kuwa wenye kiasi.
(Ona pia Mwa. 5:24; 6:9; 1 Fa. 2:3, 4.)