Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 48
  • Tutembee na Yehova Kila Siku

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tutembee na Yehova Kila Siku
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Utembee Pamoja na Mungu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tukuwe Washikamanifu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuonyeshe Shukrani kwa Ajili ya Fazili za Mungu Zenye Hatustahili
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 48

WIMBO 48

Tutembee na Yehova Kila Siku

Maandishi

(Mika 6:8)

  1. 1. Tutembee na Yehova;

    Na tujishushe mbele yake.

    Kama tunamutafuta

    Atatuonyesha fazili!

    Sababu anatupenda,

    Tutatembea naye.

    Na tunajitoa kwake;

    Tumutumikie yeye.

  2. 2. Mu siku hizi za mwisho,

    Shetani anakasirika.

    Iko natutesa sana

    Ili tumuache Yehova.

    Lakini tujue kama

    Mungu atatulinda.

    Basi tumutumikie

    na kumupenda milele.

  3. 3. Yah anatusaidia

    Kwa kutumia roho yake,

    Pia Biblia na sala,

    Na kutaniko ya Kikristo.

    Tukifurahisha Mungu,

    Atatusaidia

    Tukuwe waaminifu

    Na kuwa wenye kiasi.

(Ona pia Mwa. 5:24; 6:9; 1 Fa. 2:3, 4.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine