WIMBO 85
Tukaribishane
Maandishi
1. Karibu sana ku mikutano
Ili mujifunze Biblia
Yenye kutupatia uzima.
Aksanti Baba kwa kutukaribisha.
2. Aksanti Baba kwa wachungaji
Wenye wanatupenda sana.
Tutawaheshimia kabisa
Na tutakuwa tunakaribishana.
3. Yehova iko naita wote
Kusudi wajifunze kweli.
Tuliitwa kupitia Yesu.
Kwa hiyo na siye tukaribishane.
(Ona pia Yoh. 6:44; Flp. 2:29; Ufu. 22:17.)