Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 4 uku. 2
  • Tuwakaribishe kwa Furaha

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuwakaribishe kwa Furaha
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ushahidi Mkubwa Utatolewa
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Tuwakaribishe Wageni Wetu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Tuwakaribishe!
    Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Namna Gani Tutasaidia Wale Watakaohuzuria Ukumbusho?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 4 uku. 2

MAISHA YA MUKRISTO

Tuwakaribishe kwa Furaha

Watu gani? Watu wote wenye wanahuzuria mikutano yetu ya Kikristo, iwe ni wapya ao wenye tunajua tangu zamani. (Rom 15:7; Ebr 13:2) Inaweza kuwa ndugu ao dada mwenye anatutembelea kutoka inchi ingine ao Mukristo mwenye anafika kwenye mikutano kisha kukosekana miaka mingi. Wazia namna unaweza kujisikia kama wewe ndiye Mukristo huyo. Ni wazi kwamba utapenda wakupokee kwa furaha. (Mt 7:12) Kwa hiyo, tunapaswa kujikaza kuzunguka katika Jumba la Ufalme mbele na kisha mikutano ili kusalimia watu. Hilo linafanya watu wachangamukiane na kuonyeshana upendo, na linamuletea Yehova utukufu. (Mt 5:16) Kusema kweli, pengine haitawezekana kuzungumuza na kila mutu. Hata hivyo, watu watafurahi ikiwa tunajikaza kuwakaribia.a

Tunapaswa kukaribisha watu kwa furaha kila wakati, haiko tu nyakati za pekee, kama vile wakati wa Ukumbusho. Wakati wapya wanajionea upendo wa Kikristo, wanaweza kuchochewa kumusifu Mungu na kujiunga na sisi ili kumuabudu pamoja.—Yoh 13:35.

a Kanuni za Biblia zinaonyesha waziwazi kama hatupaswe kusalimia watengwa hata wakati wanafika kwenye mikutano.—1Kor 5:11; 2Yoh 10.

Ndugu anakaribisha wageni katika Jumba la Ufalme

NAMNA YA KUSAIDIA WAPYA

  • Uwaambie jina lako na uwaulize jina lao

  • Uwaombe wakae pembeni yako

  • Musome nao Biblia na muimbe pamoja

  • Kisha mikutano, ukuwe tayari kujibia maulizo yao

  • Uwaulize kama wanapenda kujifunza Biblia

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine