WIMBO 86
Lazima Tufundishwe na Yehova
Maandishi
1. Mukuye mujifunze kuhusu Mungu
Na mukunywe maji ya uzima.
Tuache Mungu atufundishe;
Atalisha wote wenye njaa.
2. Tusiache kukusanyika pamoja.
Tutiane moyo kila siku
Na ndugu zetu na dada zetu.
Roho ya Mungu ituongoze.
3. Kuimba na ndugu kunafurahisha,
Sauti zao ni za muzuri;
Maneno yao inapendeza!
Basi tusikose mikutano.
(Ona pia Ebr. 10:24, 25; Ufu. 22:17.)