WIMBO 98
“Kila Andiko Limeongozwa na Roho ya Mungu”
Maandishi
1. Neno ya Yehova Mungu
Iko natuongoza.
Kama tunaifuata
Tutakuwa na uhuru.
2. Mungu anatufundisha
Kupitia Biblia,
Anatutia nizamu
Na anatukaripia.
3. Mu Biblia tunaona
upendo wa Yehova.
Tuisome kila siku
Tutakuwa na furaha.
(Ona pia Zb. 119:105; Mez. 4:13.)